Vita vyaendelea Sudan Kusini
Haijulikani wapiganaji hao ni akina nani.
Mashirika ya kutoa misaada yanasema kuwa maelfu ya raia wamekimbia na pia kuna ripoti za uporaji na vifo.
Hali ni tete nchini Sudan Kusini licha ya kuundwa kwa serikali ya umoja, yenye lengo la kumaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyoanza mwaka 2013.

0 comments:
Chapisha Maoni